Tumefanikiwa kupeleka vijana kumi kwa Agrovvet Tanzania.

blog-03-01_856.jpg

Hakuna jambo jema kama kupeleka vijana kazini,Siku ya jana tumefanikiwa kupeleka vijana kumi kwa Agrovvet Tanzania ambao wanajihusisha na utengenezaji na uuzaji wa chakula cha mifugo nje na ndani ya nchi,VTF imedhamiria kuondoa Vijana vijiweni.

Quick Links
Contact Us
Kigamboni - Dar es Salaam.